Mshambuliaji wa soka wa Manchester City, Emmanuel Adebayor kwa mwaka mzima kwa mkopo.
Mshambuliaji huyo wa Togo, amekuwa akisugua benchi alivyokua Man City mpaka alivyotolewa kwa mkopo kwenda Real Madrid.
Redknapp alisema "kama mashabiki wa Arsenal hawampendi basi wa kwetu watampenda.