Kiungo mpya wa Manchester City, Samir Nasri amesema kuwa alikuwa na wazo moja tu nalo tu ni City na sio mahasimu wao United.
Alisema kuwa hata kama kocha wa United, Sir. Alex Ferguson angetoa ofa kubwa angekwenda Man City
Alisema kuwa "Nimefurahi kujiunga na Man City kwani kuna wachezaji wazuri tu"