Kocha wa Bolton Wanderers Owen Coyle amethibitisha kuwa wamekataa ofa ya Arsenal kumyakua beki wao mahiri Gary Cahill.
Mwingereza huyo ambaye anahusishwa na mpangi kwenda Arsenal, Man City na Liverpoo na hata Manchester United. Amekuwa kati ya mabeki hodari Uingereza tangu alivyojiunga na Aston Villa.
Hata hivyo Arsenal wanahusishwa kupeleka 7M.