Friday, August 26, 2011

Nasri ndo wamwisho!!!!!




Kocha wa Man City Roberto Mancini amesistiza kuwa kiungo Samir Nasri ndiye mchezaji wa mwisho kumsajili.




Man City inayojuliakana kama timu inayopenda hela, imewasajili wachezaji wengi wakubwa na wameweza kunyakua taji lao la kwanza kwa miaka 35.




BREAKING NYUZ:


Kiungo Samir Nasri amesema kuwa, "Man Utd wasubirie vipigo tu"