Kocha wa Manchester United Sir. Alex Ferguson amewajia kuu Shirikisho la Soka Uingreza (FA) na kuwaambia wanaitibu timu yake kama s**t.
Man U msimu uliopita walikuwa na malumbano mengi na FA na sasa hataki itokee tena.
Man U imewatoa wachezaji nane kwenda England kama Danny Welbeck, Tom Clevery, Phil Jones, Rio Ferdinand, Wayne Rooney, Ashley Young, Cris Smalling na Michael Carrick.
Kutoka www.thesun.com