Friday, August 26, 2011

FERGIE aja juu kwa FA



Kocha wa Manchester United Sir. Alex Ferguson amewajia kuu Shirikisho la Soka Uingreza (FA) na kuwaambia wanaitibu timu yake kama s**t.


Man U msimu uliopita walikuwa na malumbano mengi na FA na sasa hataki itokee tena.


Man U imewatoa wachezaji nane kwenda England kama Danny Welbeck, Tom Clevery, Phil Jones, Rio Ferdinand, Wayne Rooney, Ashley Young, Cris Smalling na Michael Carrick.