Friday, August 26, 2011

Aquilani asepa.



Kiungo wa AC Milan Alberto Aquilani ameondoka kwenda AC Milan kwa mkopo wa mwaka mzima.


Kiungo huyo amekuwa hapangwi kwa mda mrefu amekuwa akivumishwa kwenda Fiorentina kwa muda mrefu ila Liverpool imekataa kumuuza kabisa-kabisa.