Friday, July 8, 2011

Hulk: Njooni mnipate



Straika wa Porto Hulk amekaribisha timu yoyote ambayo inamtaka ikiwamo Chelsea. Raia huyo wa Brazil amedaiwa kuuzwa kwa pauni millioni 100 na kuweka rekodi.






Mchezaji huyo ambaye alisaini mkataba wa miaka mitano amekuwa na uhusiano mzuri na kocha wake Andre Villas-Boas. Mchezaji huyo alisaini mkataba huo May tu na Chelsea wana mpango wa kuuvunja mkataba huo.