
Klabu ya Real Madrid imedaiwa kumwalika nyota wa Santos ili kuzungumza jinsi ya kumpata.
RAC1 limebainisha kuwa makamu wa Rais wa Madrid Jose Sanchez amemwalika wakala wa mshambuliaji huyo Wagner Ribeiro ili kumwaga wino Santiago Bernabeu. Kuna habari hata mahasimu wao Barca wanamtaka kinda huyo wa Brazil Neymar!
Mmiliki wa Chelsea Roman Abramovich naye anahaha kumsaini ingawa Sanchez anaamiani Madrid ina nafasi kubwa.