
Tottenham boss Harry Redknapp amedhihisha kuwa alijaribu kumsaini defender wa Manchester United Rio Ferdinand mwanzoni mwa msimu huu.
Redknapp anampenda sana Ferdinand ambapo alimpa staa huyo wa England mechi yake ya kwanza ambapo alikuwa West Ham. Chifu wa Spurs anataka kuleta mastaa hapo Spurs hali akimlenga Ferdinand.
Hatahivyo, Redknapp alisema Manchester United walikataa kumuuza staa wao.