Monday, April 11, 2011

Kuszczak kuondoka?


Goalkeeper wa Manchester United Tomasz Kuszczak amethibitisha kuwa ataondoka Man U mwishoni mwa msimu.

Mpoland huyo hajaweza kumtoa Edwin van der Sar kutoka kwenye kikosi cha kwanza cha Old Trafford na ameamua kuindoka Old Trafford. Hatakama Mduchi mwenza Edwin Van der Sar kustaafu mwishoni mwa msimu, Kuszczack hatazidi kubaki kupigania kuwa kipa No.1

Sir Alex Ferguson anatarajia kuingia sokoni tena ili kumpata mbadala wa kipa huyo wa zamani wa Hertha Berlin na West Brom.