Monday, April 11, 2011

TransfersOther gossipAnd finally



TRANSFER GOSSIP kutoka www.bbc.com

Manchester City boss Roberto Mancini ameingia katika mpambano wa kumsaini beki wa Bolton Gary Cahhil kwa £20m.
Full story: Daily Mirror

Inter Milan boss Leonardo anajipa moyo kuwa anaweza kumpata winga wa Arsenal kwenda San Siro kwa £31m.
Full story: caughtoffside.com

Manchester United wanapanga kumpata kiungo wa Real Madrid mwenye umri wa miaka 16 Enzo Zidane, mtoto wa shujaa Zinedine.
Full story: caughtoffside.com

Habari zote kutoka www.bbc.com