Monday, April 11, 2011

Man U kumtia Berbatov sokoni


Manchester United wanaripotiwa kuwaza kumuuza mfungaji wao Dimitar Berbatov kwenda Bayern Munich.

Mbulgaria huyo amejikuta akiwa bench mara kwa mara siku hizi. Hajaoneka akiwa na furaha kuhusu kukaa bench hususani ambapo amekuwa akifunga magoli mengi, ripoti zinadai kuwa Alianz Arena wako tayari kuofa €25m (£22m) ilikumpata straika huyo aliyekuwa Tottenham kabla ya kwenda Manchester kwa ada ya pauni millioni 30.5.