
Mbulgaria huyo amejikuta akiwa bench mara kwa mara siku hizi. Hajaoneka akiwa na furaha kuhusu kukaa bench hususani ambapo amekuwa akifunga magoli mengi, ripoti zinadai kuwa Alianz Arena wako tayari kuofa €25m (£22m) ilikumpata straika huyo aliyekuwa Tottenham kabla ya kwenda