
Mbele yetu kuna pambano la kukata na shoka la CHELSEA NA MAN U, na kila siku mpambano kama huu ukitokea lazima mtu alie, je unafikiria nani atashinda!
Haya ni marudio ya fainali iliyochezwa Moscow ambapo Man U ilishinda kwa penati, nadhani Chelsea hawatataka haya yatokee tena. Je, Rooney atang'aa au Luiz atamuaibisha? Je, Drogba anamzidi Vidic maarifa? Je ni Torres au Chicharito ambao watafanya maajabu? Je Berbatov anaweza kujionyesha kuwa yeye ndio mfungaji bora Ligi kuu England?
Aaah! nimesema mengi sana sasa tuone nini hawa watu wanaweza kutufurahisha. Kombe la Mabingwa Ulaya ni Kombe la Maajabu sana.
Hii sio mechi ambayo itachezwa tu;
| Tuesday April 5 | ||||
|---|---|---|---|---|
| 5 Apr, 19:45 | Real Madrid v Tottenham Hotspur | Bernabéu, Madrid | ||
| 5 Apr, 19:45 | Internazionale v Schalke 04 | Stadio Giuseppe Meazza, Milan | ||
| Wednesday April 6 | ||||
|---|---|---|---|---|
| 6 Apr, 19:45 | Chelsea v Manchester United | Stamford Bridge, London | ||
| 6 Apr, 19:45 | FC Barcelona v Shakhtar Donetsk | Camp Nou, Barcelona | ||
| Tuesday April 12 | ||||
|---|---|---|---|---|
| 12 Apr, 19:45 | Manchester United v Chelsea | Old Trafford, Manchester | ||
| 12 Apr, 19:45 | Shakhtar Donetsk v FC Barcelona | Donbass Arena, Donetsk | ||
| Wednesday April 13 | ||||
|---|---|---|---|---|
| 13 Apr, 19:45 | Tottenham Hotspur v Real Madrid | White Hart Lane, London | ||
| 13 Apr, 19:45 | Schalke 04 v Internazionale | Veltins-Arena, Gelsenkirchen | ||