Monday, April 4, 2011

Hapatatosha Stamford Bridge!


Mbele yetu kuna pambano la kukata na shoka la CHELSEA NA MAN U, na kila siku mpambano kama huu ukitokea lazima mtu alie, je unafikiria nani atashinda!

Haya ni marudio ya fainali iliyochezwa Moscow ambapo Man U ilishinda kwa penati, nadhani Chelsea hawatataka haya yatokee tena. Je, Rooney atang'aa au Luiz atamuaibisha? Je, Drogba anamzidi Vidic maarifa? Je ni Torres au Chicharito ambao watafanya maajabu? Je Berbatov anaweza kujionyesha kuwa yeye ndio mfungaji bora Ligi kuu England?

Aaah! nimesema mengi sana sasa tuone nini hawa watu wanaweza kutufurahisha. Kombe la Mabingwa Ulaya ni Kombe la Maajabu sana.

Hii sio mechi ambayo itachezwa tu;

Tuesday April 5
5 Apr, 19:45 Real Madrid v Tottenham Hotspur Bernabéu, Madrid
5 Apr, 19:45 Internazionale v Schalke 04 Stadio Giuseppe Meazza, Milan
Wednesday April 6
6 Apr, 19:45 Chelsea v Manchester United Stamford Bridge, London
6 Apr, 19:45 FC Barcelona v Shakhtar Donetsk Camp Nou, Barcelona
Tuesday April 12
12 Apr, 19:45 Manchester United v Chelsea Old Trafford, Manchester
12 Apr, 19:45 Shakhtar Donetsk v FC Barcelona Donbass Arena, Donetsk
Wednesday April 13
13 Apr, 19:45 Tottenham Hotspur v Real Madrid White Hart Lane, London
13 Apr, 19:45 Schalke 04 v Internazionale Veltins-Arena, Gelsenkirchen