Monday, April 11, 2011

Guardiola anaweza kuondoka


Kocha Barcelona Pep Guardiola amekataa kukana ya kwamba anaweza kuihama Nou Camp mwishoni mwa msimu ujao.

Habari hizozimewashtusha klabu kubwa Kama Chelsea, Manchester United and Arsenal.Kocha huyo mwenye miaka 40 alipatikana akisema kwenye moja ya vyomba vya habari Italy kuwa ataondoka Catalonia mwishoni mwa mwaka 2011/12.

Habari hizo huenda ni za ukweli kwani Pep Guardiola mwenyewe amesema kuwa kuna presha kubwa sana hapa Barcelona.