Sunday, January 2, 2011

Manchester United na Spurs wako tayari kutoa €13 millioni kwa Lass.


Kiungo mkabaji Lassana Diarra 24, amehusishwa na mpango wa kuondoka Bernabeu na sasa Man U na Spurs zinamtaka kiungo huyo aliyewahi kuzichezea Chelsea, Arsenal and Portsmouth.

Diarra amekuwa Real Madrid kwa miaka miwili kutokea Pompey, lakini amedhibitiwa nafasi na Sami Khedira kutokea Stuttgart kwani Diarra amemaliza mechi mara mbili tu chini ya Jose Mourinho.

Kuna habari kwamba Manchester United wanamtaka Diarra. Kuna habari kwamba Diarra atamrithi Owen Hagreaves aliyeumia kwa mara nyingine baada ya kuwa nje ya miezi 18.