Sunday, January 2, 2011

Manchester United kutoa €20 millioni kwa Lukaku.


Kinda huyo mwenye miaka , anayetajwa kama Drogba mpya aliifungia RSC Anderlecht mabao 18 msimu uoliopita, na anaonekana tena kuongeza zaidi ya 18 kwani kwa sasa ana magoli 14 na hawezi kukosa kufunga ndani ya dakika 111.

Habari kutoka www.imscouting.com kutoka RSC Anderlecht zinasema kwamba Man U inaongoza na klabu nyingine 14.

Romelu Lukaku yuko haraka, mwenye nguvu na muuwaji mbele ya kipa. Anaenda vizuri na mpira na kila mara yuko mahali penyewe katika muda wenyewe. Anwaeza kufunga na miguu yote hatakama anapenda kutumia wa kushota kuliko wa kulia.”

Lukaku ni mpigaji pasi mzuri ambaye anatengeneza mabao kwa wenzake.Lakini cha ukweli ni kwamba Lukaku ni mchezaji wa hali ya juu au WORLD CLASS PLAYER.