
Klabu ya soka ya Hispania Villariel imekuwa inamshikilia kipa wake namba 1 Diego Lopez kwani Manchester United huenda wakaishia hapo.
Magazeti ya Uingereza yamedadisi kuwa kuna uvumi wa Manchester kwa kipa huyo.
Manchester inataka kuwasajili:
Angel Di Maria- Benifica
Diego Lopez- Villariel
Joe Cole- Chelsea
Magazeti ya Uingereza yamedadisi kuwa kuna uvumi wa Manchester kwa kipa huyo.
Manchester inataka kuwasajili:
Angel Di Maria- Benifica
Diego Lopez- Villariel
Joe Cole- Chelsea