Karibu sana katika blog linalokuletea habari kutoka MAJUU kwa UFUPI
Sunday, November 8, 2009
ROBINHO AWATIA KIWEWE BARCELONA
Timu ya Barcelona inamtaka Robinho kwa kile kile kiasi cha paundi millioni 34 sawa na walichomnunulia kutoka Madrid. Robinho ambaye ni majeruhi tangu mwanzoni mwa msimu huu.