Karibu sana katika blog linalokuletea habari kutoka MAJUU kwa UFUPI
Sunday, November 8, 2009
HENRY- SINA BIFU NA KOCHA...............
Mshambuliaji wa Barcelona amesema kuwa hana bifu na kocha Guiradola kwamba anataka Mfaransa mwenzake Pedro ampite kiwango. Huwo ni uongo kabisa alisema kocha Guiradola.