
Mabingwa watetezi wa Italia imetangaza kumtaka kiungo wa Real Madrid Guti ambaye amekuwa akiwekwa benchi na kocha Manuel Pellegrini. Guti alionekana akikorofishana na kocha wake baada ya kutolewa katika kombe la Mfalme.
Karibu sana katika blog linalokuletea habari kutoka MAJUU kwa UFUPI