Karibu sana katika blog linalokuletea habari kutoka MAJUU kwa UFUPI
Friday, November 13, 2009
BOSINGWA NJE
Beki wa Chealse Jose Bosinwa ameipa pigo timu yake baada ya kupasuliwa mguu kwakuwa yeye ni majeruhi, Bosinwa alicheza mechi wyake ya mwisho dhidi ya Aston Villa kwa kulizwa 2-1.