Karibu sana katika blog linalokuletea habari kutoka MAJUU kwa UFUPI
Friday, November 13, 2009
CARLO CUDICINI AEPUKA KIFO.
Kipa tegemeo la pili wa Tottenham Hotspurs Carlo Cudicini amenusurika katika ajali akigongana uso kwa uso na garo aina ya P-reg Fiesta. Cudicini alikuwa akiendesha pikipiki.