Karibu sana katika blog linalokuletea habari kutoka MAJUU kwa UFUPI
Friday, October 30, 2009
Tottenham yamtaka Rio
Timu ya Totten ham imemtaka Rio Ferdinand baada ya kuonyesha kiwango kibaya akiwa Man United. Habari ziwafikie wote kwamba Ferdinand ataondoka msimu huu.