Beki mahiri wa klabu ya Wender Bremen Per Mertesacker ameruhusiwa na timu yake ya taifa kwenda London ili kufanyiwa vipimo ili kumaliza uhamisho wake kwenda Arsenal.
Kocha wa Ujerumani, Joachim Low alisema kuwa: "Alinipigia jana usiku kuniambia".Raia huyo wa Ujerumani alisema ana furaha Bremen ila hakutaka kukataa kuondoka.
Uhamisho huo utamkosti Wenger euro 10(pauni million 8.8)