Klabu ya Urusi Anzhi Makhachkala imeanzisha mpango wa kushtukiza wa kumsaini beki mahiri wa kati wa Man Utd Nemanja Vidic'.
Anzhi ambayo imeshamnunua straika hatari wa Kameruni Samuel Eto'o kwa pauni millioni 20, timu hiyo inataka timu hiyo iwe hatari.
Manchester United ilimsajili beki huyo kutoka Sparktar Moscow kwa pauni millioni 7