
Miamba ya Uhispania imedaiwa kumchukua nyota mwengine kutoka Manchester United Javier Hernandez.
Chicharito ni mmoja kati ya wachezaji wanaolipwa kiasi kidogo katika timu hiyo ambapo analipwa mshahara wa Sh. billioni 51.4
Kwahiyo miamba hiyo imedaiwa kuanda kiasi cha Sh.128.6 ili kumshawishi straika huyo ambaye ni tishio dunia nzima na kustaajabisha dunia nzima kwa kasi zake na umaridadi ambao umeisaidia inyakue kombe la 19 ambayo ni rekodi.