
Mambo yanaonekana mazuri kwa Chelsea baada ya Anderletch kuoneka kushawishika na Chelsea.
Kwa mara ya kwanza klabu ya Anderletch ya kukooo' Ubelgiji imetangaza kuwa katika mazungumzo na Chelsea kuhusu straika lao machachari Romero Lukaku. Lukaku, 18 anayesemekana kama Drogba mpya pia anawaniwa na klabu ya Man Utd na AC Milan.
MAONI YA MWANDISHI
Mbali na Lukaku Chelsea pia inamwania kiungo wa klabu ya Gent hukohuko Ubelgiji, de Bruyne mwenye umri wa miaka 19.