

Mchezo
Lakini Bale mwenye miaka 21 alisema: "Ninafuraha Tottenham na sioni sababu ya kwenda sehemu nyingine. Kuna wachezaji wengi ambao wamesaini mikataba mirefu ndani ya klabu na hicho kinasababisha klabu iwe na amani.
"Tottenham walionyesha dhidi ya Inter kwamba inaweza kushindana dhidi ya timu yoyote kubwa duniani na kwanini niondoke?