Sunday, June 13, 2010

CITY: MACHO TOTE KWA VIDIC


Timu ambayo iliyoonekana tajiri msimu uliopita Manchester City sasa inaoneka tena kuwa inamnyemelea beki wa kimataifa wa Serbia Nemanja Vidic kwa millioni 20.


Habari kutoka http://www.eurosport.com/ zinasema kuwa watamuangalia wakati Serbia watakapo menyana 15:00 Serbia v Ghana huko Sauzi.


Beki wa kati huyo aliyeoneka ngangari na mfungaji magoli mzuri kwa vichwa wa Manchester United msimu uliopita.