
Bosi wa Chelsea Carlo Ancelotti amesistiza kuwa hana wasiwasi na timu yake dhidi ya Inter Milan Jumanne baaada ya kuizaba Westham 4-1.
Anceloti amesema Dider Drogba kuwa mtu wa mabao jumanne.
Karibu sana katika blog linalokuletea habari kutoka MAJUU kwa UFUPI