Karibu sana katika blog linalokuletea habari kutoka MAJUU kwa UFUPI
Friday, November 13, 2009
HAMBURG WAMTAKA HUNTELAAR
Klaas-Jan Huntelaar anatakiwa, hatakama alifika hapa Ac Milan kwa millioni 15 the msimu uliopita. Hamburg inaonekana kuwa tayari kumsaini mdatchi huyu kwa mkopo.