Karibu sana katika blog linalokuletea habari kutoka MAJUU kwa UFUPI
Friday, November 13, 2009
FIORENTINA KWA LUCAS LEIVA
Liverpool wanataka kumuuza Lucas Leiva, na wanataka kiasi kinachozidi euro millioni15. Mchezaji huyu amechunguzwa kuwa anafuatwa na Fiorentina wa Pantaleo Corvino.