
Beki wa kulia wa Liverpool Andrey Dossena ameviambia vyombo vya habari kuwa "timu za Italia zinanifuata. Ila mimi nimekwisha kuchagua timu. Sasa hizi timu nyingine zikija mimi hazitanihusu maana mawakili wengi wanakuja. Chaguo langu ni Juventus.
Karibu sana katika blog linalokuletea habari kutoka MAJUU kwa UFUPI