
Aston Villa 2 Chelsea 4
Everton 2 West Brom 0
Fulham 2 Norwich 1
Man City 3 Sunderland 3
QPR 2 Arsenal 1
Wigan 2 Stoke 0
Wolves 2 Bolton 3
Karibu sana katika blog linalokuletea habari kutoka MAJUU kwa UFUPI

Chelsea yampata Mata
Klabu ya soka ya Chelsea imefanikiwa kumpata yosso wa Hispania Juan Mata. Mata ambaye alikuwa akiwindwa na Arsenal sasa amesaini Chelsea na atajiunga na akina Oriel Romeu, Romelu Lukaku na Thibaut Courtois.
Messi: Man U tu ndio inayotisha
Mshambuliaji nyota wa Barcelona hivi juzi alikaririwa akisema kuwa Man Utd tu ndio inayowanyima usingizi na sio Real Madrid.



Barcelona wamesonga mbele zaidi ya Man Utd katika kinyanganyiro cha winga kutoka Chile, Alexis Sanchez.





Redknapp anampenda sana Ferdinand ambapo alimpa staa huyo wa England mechi yake ya kwanza ambapo alikuwa West Ham. Chifu wa Spurs anataka kuleta mastaa hapo Spurs hali akimlenga Ferdinand.
Hatahivyo, Redknapp alisema Manchester United walikataa kumuuza staa wao.

Goalkeeper wa Manchester United Tomasz Kuszczak amethibitisha kuwa ataondoka Man U mwishoni mwa msimu.
Mpoland huyo hajaweza kumtoa Edwin van der Sar kutoka kwenye kikosi cha kwanza cha Old Trafford na ameamua kuindoka Old Trafford. Hatakama Mduchi mwenza Edwin Van der Sar kustaafu mwishoni mwa msimu, Kuszczack hatazidi kubaki kupigania kuwa kipa No.1
Sir Alex Ferguson anatarajia kuingia sokoni tena ili kumpata mbadala wa kipa huyo wa zamani wa Hertha Berlin na West Brom.
| 1 | Manchester United | 32 | 69 |
| 2 | Arsenal | 31 | 62 |
| 3 | Chelsea | 31 | 58 |
| 4 | Manchester City | 31 | 56 |
| 5 | Tottenham Hotspur | 31 | 53 |
| 6 | Liverpool | 31 | 45 |
| 7 | Everton | 32 | 44 |
| 8 | Bolton Wanderers | 32 | 43 |
| 9 | Newcastle United | 32 | 39 |
| 10 | West Bromwich Albion | 32 | 39 |
| 11 | Fulham | 32 | 38 |
| 12 | Stoke City | 32 | 38 |
| 13 | Sunderland | 32 | 38 |
| 14 | Aston Villa | 32 | 37 |
| 15 | Blackburn Rovers | 32 | 35 |
| 16 | Birmingham City | 31 | 35 |
| 17 | Blackpool | 32 | 33 |
| 18 | West Ham United | 32 | 32 |
| 19 | Wolverhampton Wanderers | 32 | 32 |
| 20 | Wigan Athletic | 32 | 31 |

Kocha Barcelona Pep Guardiola amekataa kukana ya kwamba anaweza kuihama Nou
Habari hizozimewashtusha klabu kubwa Kama Chelsea, Manchester United and Arsenal.
Habari hizo huenda ni za ukweli kwani Pep Guardiola mwenyewe amesema kuwa kuna presha kubwa

Mbulgaria huyo amejikuta akiwa bench mara kwa mara siku hizi. Hajaoneka akiwa na furaha kuhusu kukaa bench hususani ambapo amekuwa akifunga magoli mengi, ripoti zinadai kuwa Alianz Arena wako tayari kuofa €25m (£22m) ilikumpata straika huyo aliyekuwa Tottenham kabla ya kwenda

| Tuesday April 5 | ||||
|---|---|---|---|---|
| 5 Apr, 19:45 | Real Madrid v Tottenham Hotspur | Bernabéu, Madrid | ||
| 5 Apr, 19:45 | Internazionale v Schalke 04 | Stadio Giuseppe Meazza, Milan | ||
| Wednesday April 6 | ||||
|---|---|---|---|---|
| 6 Apr, 19:45 | Chelsea v Manchester United | Stamford Bridge, London | ||
| 6 Apr, 19:45 | FC Barcelona v Shakhtar Donetsk | Camp Nou, Barcelona | ||
| Tuesday April 12 | ||||
|---|---|---|---|---|
| 12 Apr, 19:45 | Manchester United v Chelsea | Old Trafford, Manchester | ||
| 12 Apr, 19:45 | Shakhtar Donetsk v FC Barcelona | Donbass Arena, Donetsk | ||
| Wednesday April 13 | ||||
|---|---|---|---|---|
| 13 Apr, 19:45 | Tottenham Hotspur v Real Madrid | White Hart Lane, London | ||
| 13 Apr, 19:45 | Schalke 04 v Internazionale | Veltins-Arena, Gelsenkirchen | ||
| Match |
|---|
| Manchester City5 - 0Sunderland |
| Fulham3 - 0Blackpool |
