Sunday, March 6, 2011

Shalke waongea juu ya Man U.


Schalke wamesema kwamba Manchester United wako makini kwa Neuer na wataangalia maelezo kama kuna hela au chochote kwa kipa huyo.


United wanatarajiwa kuwa sokoni kumsaka kipa mpya kwenye majira ya joto ambapo kipa wao atastaafu.


Mjerumani huyo amepangwa kuwa mmoja wa makipa waliotakiwa Old Trafford baada ya kuwa MKALI misimu iliopita.


Yuko chini ya mkataba na Schalke mpaka 2012 na klabu hiyo ya Bundesliga inataka kumkalisha hapohapo kipa wake.