KLABU ya Arsenal imeingia mkataba wa kumsaini mshambuliaji wa Aston Villa Gabriel Agbonlahor mwezi wa Januari.
Habari hizi zimetoka kwenye http://www.bbc.com/ baada ya Arsenal kusema itamnunua Agbonlahor kwa paundi milioni 17.
Habari hizi zimetoka kwenye http://www.bbc.com/ baada ya Arsenal kusema itamnunua Agbonlahor kwa paundi milioni 17.

Klabu ya Arsenal imetakiwa kumlinda Kiungo wake Jack Wilshere, 17.
Burnley ndio inayo mtaka Jack Wilshere ikifika Januari.