Karibu sana katika blog linalokuletea habari kutoka MAJUU kwa UFUPI
Sunday, November 8, 2009
Man U yamataka Chamakh
Timu ya Man Utd inampango wa kumnunua mshambuliaji Marouane Chamakh mwenye miaka 25. Mshambuliaji huyo alitakiwa na Arsenal ila wakamkosa na West Ham pia wanamfuatilia.